1899
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1860 |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890
| Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| ►
◄◄ |
◄ |
1895 |
1896 |
1897 |
1898 |
1899
| 1900
| 1901
| 1902
| 1903
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1899 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]Kalenda ya Gregori | 2025 MMXXV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5785 – 5786 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2778 |
Kalenda ya Ethiopia | 2017 – 2018 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1474 ԹՎ ՌՆՀԴ |
Kalenda ya Kiislamu | 1447 – 1448 |
Kalenda ya Kiajemi | 1403 – 1404 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2080 – 2081 |
- Shaka Samvat | 1947 – 1948 |
- Kali Yuga | 5126 – 5127 |
Kalenda ya Kichina | 4721 – 4722 甲辰 – 乙巳 |
- 12 Januari - Paul Hermann Müller (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1948)
- 30 Januari - Max Theiler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1951)
- 13 Machi - John Van Vleck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1977)
- 10 Aprili - Vladimir Nabokov, mwandishi wa Urusi na wa Marekani
- 29 Aprili - Duke Ellington, mwanamuziki wa Jazz kutoka Marekani
- 3 Juni - Georg von Bekesy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1961
- 11 Juni - Yasunari Kawabata (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1968)
- 12 Juni - Fritz Lipmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1953)
- 11 Julai – Elwyn Brooks White (mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1978)
- 21 Julai - Ernest Hemingway (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1954)
- 22 Julai - Sobhuza II, mfalme wa Uswazi
- 13 Agosti - Alfred Hitchcock, mwongozaji wa filamu kutoka Uingereza
- 24 Agosti - Jorge Luis Borges, mwandishi kutoka Argentina
- 28 Agosti - Chang Myon, mwanasiasa kutoka Korea Kusini
- 3 Septemba - Frank Burnet, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1960
- 19 Oktoba - Miguel Asturias (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1967)
- 13 Novemba - Huang Xianfan, mwanahistoria kutoka China
- 25 Desemba - Humphrey Bogart, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 21 Novemba - Garret Hobart, Kaimu Rais wa Marekani
- 10 Desemba - Ngwane V, mfalme wa Uswazi