Nenda kwa yaliyomo

Kuma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kuma ya binadamu:
1: govi la kinembe
2: kinembe
3: mashavu ya nje ya uke
4: mashavu ya ndani ya uke
5: ufunguzi wa mfumo wa mkojo
6: ufunguzi wa mfumo wa uzazi
7: msamba
8: mkundu

Kuma (pia: uke) ni sehemu ya mwili wa mwanamke. Iko kati ya sehemu ya chini ya tumbo (perineum) na mrija wa mkojo (urethra). Mdomo wa uke ni mkubwa zaidi kuliko mdomo wa mrija wa mkojo. Uke ni mfereji unaoelekea kutoka kwenye mji wa mimba (uterus) mpaka nje ya mwili. Damu ya hedhi (kiowevu chekundu chenye damu kinachotoka wakati wa hedhi) hutoka mwilini kupitia uke. Wakati wa kujamiiana, uume huingizwa kwenye uke. Wakati wa kujifungua, uke hupanuka ili kumruhusu mtoto kutoka kwenye mji wa mimba. Uke una rangi ya waridi-kijivu, ingawa rangi inaweza kutofautiana.e[1].

Ukuaji

Kati ya umri wa miaka 9-15, uke na mji wa mimba hukua na kuwa mkubwa. Mji wa mimba ni kiungo ambacho mtoto hukua ndani yake. Mdomo wa nje wa uke unaoelekea kwenye kinyweo, kati ya miguu. Kiowevu kilicho wazi au cheupe kinaweza kuanza kutoka kwenye uke ili kukiweka kiwe safi.[2]


Tanbihi

Makala hii kuhusu mambo ya anatomia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kuma kama matumizi yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.